Vitabu alivyotunga Sheikh Ali bin Hemed

  • Hajatul-Insaan (Tawhiid - Fiqhi).
  • Miirathi na Ndoa (Vilitumika Serikalini).
  • Sherehe ya Qaswida Baanat Suaad.
  • Sherehe ya Burdai.
  • Pia alitafsiri Qur'an mpaka suratul Al-an-aam.
  • Vile vile alitunga kitabu kinachoitwa "Taarifu juu ya Tafsiri ya Kadiani".

    Hii ilikuwa ni kusahihisha tafsiri ya Qur'aan iliyotolewa na Makadiani
  • Alitunga vitabu vya FIQHI kwa ajili ya wanafunzi wa Madrassa.
    .
  • 1 comment:

    1. Assalaam aleikum. Vinaweza kupatkana hivyo vitabu tukaviona? Au kuvipata hata kama itakuwa soft copy?

      ReplyDelete