Maulid ya kukutanisha watoto, wajukuu, vitukuu na vilembwe vya Sheikh Ali bin Hemed (2013)

Baadhi ya watoto wa Sheikh Ali bin Hemed Al-Buhriy

Baadhi watoto wa Al-Marhum Sheikh Ali bin Hemed Al-buhriy katika picha ya pamoja wakiwa Dar es Salaam baada kumaliza kusoma Maulid ya kuwarehemu "Amwaat" mwaka 2013 na kuwa pamoja na kufahamiana.

Zaitun bint Ali bin Hemed Al-Buhriy akitambulisha wajukuuze ambao ni vituku kwa Sheikh Ali bin Hemed Al-Buhriy


Ali bin Masoud bin Ali Hemed Al-Buhriy akimtambulisha A'ami na Mama yake wakiwa na nduguze na watoto wao


Shariff Abdallah akimtambulisha Mama yake Shangazi Mwanaarabu bint Ali Hemed Al-Buhriy; akiwa na nduguze na watoto wao


Familia ya Sheikh Nassor bin Ali Hemed Al-Buhriy ikijitambulisha akiwa na watoto wake


Shangazi Madina bint Ali bin Hemed Al-Buhriy akijitambulisha


Familia ya Sheikh Issa bin Ali Hemed Al-Buhriy ikijitambulisha akiwa na watoto wake


Ayoub bin Muhammad Hemed Al-Buhriy akitambulisha nduguze na watoto wao


ZamZam bint Said Ali Hemed Al-Buhriy akitambulisha nduguze na watoto wao


Asiya bint Muhammad Ali Hemed Al-Buhriy akitambulisha nduguze na watoto wao


Sheikh Mussa bin Hemed bin Jumaa bin Hemed Al-Buhriy akitambulisha wajukuu na vilembwe vya Bi Mganga bint Hemed Al-Buhriy ambaye ni dadie Sheikh Ali bin Hemed Al-buhriy


Sheikh Mkoye (Mume wa Batuli bint Salim) akimtambulisha mama, watoto na wajukuu wa Sheikh Salim bin Ali Hemed Al-Buhriy


Ali bin Zuheri Ali Hemed Al-Buhriy akitambulisha nduguze, Shemejie na watoto wao


Ali bin Kahlan Ali Hemed Al-Buhriy akitambulisha nduguze na watoto wao


Nassor bin Matuga (Kitukuu cha Sheikh Hemed bin Ali bin Hemed Al-Buhriy) akimtambulisha mama yake (Mjukuu wa Sheikh Hemed bin Ali bin Hemed Al-Buhriy) nduguze na watoto wao


No comments:

Post a Comment